6. Ni ukaguzi gani wa lazima na hati gani zinahitajika wakati wa kupeleka maombi yako FCS?

Ilitumwa Februari 5, 2020

Yafuatayo ni vitu vya lazima kukaguliwa.

  1. Sifa za mwombaji kulingana na vigezo na masharti ya FCS
  2. Fomu ya maombi iliyojazwa kikamilifu
  3. Katiba ya ASASI
  4. Hati ya Usajili wa ASASI
  5. Taarifa ya Benki

Asasi yoyote ambayo iko kwenye orodha ya asasi zilizowekewa vikwazo au haijaweza kuwasilisha nyaraka zote za lazima zilizoorodheshwa hapo juu itaondolewa kwenye hatua ya mchujo.

jQuery(document).ready(function($) { $.post('https://thefoundation.or.tz/wp-admin/admin-ajax.php', {action: 'wpt_view_count', id: '3491'}); });
Category: Swahili