HABARI MPYA

Wakurugenzi wa AZAKi: AZAKi ziko imara na zina umuhimu kwenye

AZAKi zinatoa Wito wa Ushirikishwaji wa Makundi yaliyopo  Pembezoni kwenye Uchaguzi ujao Asasi za Kiraia (AZAKi) zinakuza ushiriki wa wananchi na uwajibikaji kwenye michakato ya uchaguzi kwa kufanyakazi na mamlaka za uchaguzi na wadau wake ili kuimarisha demokrasia. Haya yalisemwa wakati wa majadiliano kwenye Jukwaa la Wakurugenzi wa AZAKi waliokuwa wakijadili  mada inayohusu  Jukumu la Asasi za Kiraia kwenye Uchaguzi wa Kidemokrasia. Hafla iliyoandaliwa na Foundation for Civil Society (FCS) iliyowaleta pamoja wakurugenzi wa AZAKi zaidi ya 80 kutoka Dar es salaam na mikoa mingine ya Jirani kwa ajili ya…

FCS Yazindua Kampeni ya kusaidia Watoa Huduma wa Afya

Foundation for Civil Society (FCS) imezindua Kampeni ya ‘Jumanne ya Utoaji’ kuwasaidia na kuwalinda watoa huduma wa afya nchini Tanzania. Lengo la Kampeni ya mwaka huu ni kukusanya vifaa vya kujikinga (PPE) na maambukizi ya corona (COVID-19) kwa ajili ya watoa huduma hao kama hatua ya dharura ya kuitikia mahitaji yaliyosababishwa na mlipuko wa homa hiyo ya mapafu. Kampeni hii inawaalika wadau na umma kwa ujumla kuchangia pesa au vifaa vya kujikinga na maambukizi ya Corona ( Barakoa, Sabuni, Vitakasa mikono,  Mavazi maalum ya watoa huduma, miwani ya upasuaji) kwa…